Prof. Shemdoe amewaagiza washiriki wa mechezo ya Wizara na Idara za Serikali kufuata sheria na taratibu za utumishi wa umma .

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Prof. Riziki Shemdoe amewaagiza washiriki wa mechezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kutoka Ofisi ya Rais- TAMISEMI kufuata sheria, taratibu za utumishi wa umma kuzingatia maadili katika kipindi chote cha mashindano ili kupata ushindi uliotukuka. Prof. Shemdoe alitoa agizo hilo Oktoba